Use The Following Link Find The Tracer Study Report On The Employment Outcomes Of The Arusha Technical College Graduates

 

 MAHAFALI YA 13 KWA MWAKA WA MASOMO 2020/2021

 

Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha anawatangazia wahitimu, wanafunzi, watumishi, wadau na watu wote kuwa mahafali ya 13 ya Chuo cha Ufundi Arusha yatafanyika tarehe 16/12/2021 katika kampasi kuu. Mahafali haya yatatanguliwa na sherehe ya kusanyiko (Convocation ceremony)  itakayofanyika siku ya tarehe 15/12/2021.

Kufuatia tangazo hili, wahitimu wote wanaombwa kuhakiki  taarifa zao muhimu kupitia tovuti ya Chuo. Kwa wale wenye marekebisho wanahimizwa kutuma taarifa zao kwenye barua pepe (This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.) yenye kichwa cha habari ‘UHAKIKI WA WA TAARIFA ZA WAHITIMU’ Mwisho wa kutuma marekebisho ni tarehe 4/11/2021.

Wahitimu wanaombwa kuthibitisha ushiriki wao kwenye mahafali hayo kupitia barua pepe.  Aidha, wahitimu wanaombwa kulipia majoho kwa kiasi cha TZS 25,000/- kwa kutumia control number inayopatikana kwenye tovuti ya Chuo. Upatapo tangazo hili mtaarifu na mwenzako.

 

Mkuu wa Chuo anawatakia maandalizi mema.

 

Imetolewa na Msajili - Chuo cha Ufundi Arusha

 

         

Dkt. Baraka Kichonge

 

MSAJILI 

 

Muhimu: Bofya hapa  kusoma tangazo

Wahitimu wote wanaombwa kuhakiki majina yao na taarifa nyingine muhimu kupitia tovuti ya Chuo. Kwa wale wenye marekebisho watume taarifa zao kwenye barua pepe yenye kichwa cha habari ‘UHAKIKI WA MAJINA YA WAHITIMU’ This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. 

 

.

Mwisho wa kutuma marekebisho ni tarehe 4/11/2021. Upatapo tangazo hili mtaarifu na mwenzako.

 

 

Imetolewa na Afisa Uhusihano - Chuo Cha Ufundi Arusha

 

 

Majina ya Wahitimu:

 

 Bofya hapa  kuona wahitimu wa Level 4

Bofya hapa  kuona wahitimu wa Level 5

Bofya hapa  kuona wahitimu wa Level 6

Bofya hapa  kuona wahitimu wa Level 7

Bofya hapa  kuona wahitimu wa Level 8

 

NB: The passwords for the documents above have been shared to students via SOATECO.