Inclusion of young women in TVET and the labour market
List of Short Courses from Different Fields.
14th Graduation Ceremony
Study with Us !
ATC NA RUWASA ZASAINI MKATABA
Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), Dkt. Musa N. Chacha na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), Mhandisi Clement KIVEGALO wakionesha Mkataba wa makubaliano wa Utengenezaji wa Dira za Maji za Malipo ya kabla ya Matumizi baina ya ATC na RUWASA waliosaini leo 21 Juni, 2022, jijini Dodoma na kushuhudiwa na Waziri wa Maji Mhe. Juma Aweso na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Juma Kipanga (Hayupo kwenye picha). Mkataba huu utakiwezesha Chuo cha Ufundi Arusha Kutengeneza Dira za Maji za Malipo ya Kabla ya Matumizi zipatazo mia moja ambazo zitatumiwa na RUWASA katika kuboresha Makusanyo na matumizi ya maji vijijini kwa kipindi cha miezi sita.
Uwekaji wa Jiwe la Msingi Jengo la Ufundi Tower
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipoweka jiwe la msingi la jengo la Ufundi Tower katika Chuo cha Ufundi Arusha, Mei 24, 2022
Uwekaji wa Jiwe la Msingi Jengo la Ufundi Tower
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Saidi Issa ambaye ni Meneja wa Ktengo cha Uzalishaji, Chuo cha Ufundi Arusha kuhusu ujenzi wa Jengo la Ufundi Tower wakati Waziri Mkuu alipoweka jiwe la msingi la jengo hilo jijini Arusha, Mei 24, 2022.
Prof. Mkenda ataka Vyuo vya Ufundi kuzalisha Wanafunzi watakao weza kuajiajiri au kuwajiriwa katika Soko la Ajira la ndani na nje ya nchi.
Ziara
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na menejimenti ya Chuo cha Ufundi Arusha alipotembelea Chuo hicho kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za kiutumishi. Kulia kwake ni Mkuu wa chuo hicho Dkt. Musa Chacha na kulia kwake ni Naibu Mkuu wa Chuo Dkt. Florence Mamboya.
Automotive Engineering Students in Practical Session
Student Practical Work on Plumbing
Electrical Engineering
Electrical Engineering Students in the practical Session

Moreover, the College also introduced Bachelor’s degree programme in Civil and irrigation engineering. The College is planning to introduce new programmes namely; Bachelor of Engineering in Electrical Engineering, Bachelor of Laboratory Science and Technology and Bachelor of Engineering in Mechatronics. Others are Diploma programmes in Clinical laboratory science technology, Multimedia technology and Heavy Duty Equipment Technology. The College is also planning to establish Diploma in Science with Education.

Legally the College is registered (REG/EOS/004) and accredited by the National Council for Technical Education (NACTE) to train technicians and engineers (NTAs 4-8). The College is also registered by Vocational Education Training Authority (VETA) to train artisans (NVAs 1-3). Currently, the College is undergoing both administrative and Academic transformations to match with its new structure, roles and functions. The expectations and aspirations of Tanzanians towards ATC are very high as expressed in the National Technical Education and Training Policy of 1996, National Higher Education Policy of 1999 and Tanzania Development Vision 2025 of 1999. The ultimate goal is to transform ATC to a centre of excellence that provides a national and international high-level human resource through exemplary competence based Technical Education and Training.

ATC boasts an established reputation as an institution that is widely acclaimed by industry for producing work-ready, competent graduates who can meet the demands of the employers. ATC takes pride in the high employability of her graduates and the appreciations expressed by employers for the excellent quality and relevance of her academic programmes and so ATC seeks to continuously to upgrade support to her students. This Prospectus therefore, describes the main features of the ATC in line with the customers’ and stakeholders’ interest. It provides an Outline of academic programmes. It gives important information on the basic requirements, procedures and regulations to be met for one to get admission and graduate at the College, course programmes,course duration and other necessary information.

The Major Roles and Functions of ATC

The main functions of ATC as stipulated in the Establishment Order No. 78 of March 2007 are as follows:
(a) To provide facilities for study and training in engineering and technology development, and such other related disciplines as the College may from time to time decide;
(b) To conduct training programmes in the disciplines specified in (a) above;
(c) To engage in research and development in the disciplines specified in (a) above and use the results for improving the training programmes of the College;
(d) To provide consultancy services to the Government, Parastatal bodies or industries and the private sector;
(e) To sponsor, arrange or provide facilities for conferences and seminars;
(f) To conduct examinations and grant awards of ATC as approved by the National Council for Technical Education;
(g) To arrange for publication and general dissemination of material produced in connection with the work and activities of the College;
(h) To establish and foster closer cooperation with the universities, technical colleges and other institutions of higher education and to promote international cooperation with similar institutions; and
(i) To do all such acts and things and enter into all such contracts and transactions as are in the opinion of the Governing Board expedient or necessary for the proper and efficient discharge of the functions of the College.